Monday, December 17, 2012

KOFFI OLOMIDE APAGAWISHA WANA DAR ES SALAMAA



Wanenguaji wa Kofii Olomide kwenye kundi la Quartier Latin wakilishambulia jukwaa katika viwanja vya leaders Club kinondoni

Kofii Olomide akicheza sambamba na wanenguaji wake katika tamasha la Tusker Canivar lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni

Mcheza shoo wa Kofi Olomide kutoka  kundi la Quartier Latin akiwakonga nyoyo za msahabiki walio hudhuria tamsaha la Tusker Canivar lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club kinondoni



No comments:

Post a Comment