Monday, December 21, 2015

RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA DADA WA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, MSOGA





Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akimfariji mke wa Rais Mtaafu Mama Salma Kikwete alipowasili kuhudhuria mazishi ya Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, dada wa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015


Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi katika mazishi ya Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, dada yake kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015


Mbunge wa Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete akimlaki Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi alipohudhuria katika mazishi ya shangazi yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015


Mama Salma Kikwete akipewa pole na Mama Sitti Mwinyi katika mazishi ya wifi yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015


Mama Salma Kikwete akipewa pole na Mama Khadija Mwinyi katika mazishi ya wifi yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015




Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mama Janet Magufuli katika mazishi ya dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015


Mama Salma Kikwete akimpoke Mama Janet Magufuli katika mazishi ya wifi yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015




Rais John Pombe Joseph Magufuli akipokewa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015




Rais John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Mhe Kikwete Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015. Kushoto ni Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Ghalib Bilal




Rais John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Mhe Kikwete Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015




Mama Janet Magufuli (kulia) akiwa na wafiwa kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015




Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akitoa hutba wakati wa mazishi




Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akiongoza swala




Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21




Rais Joseph Pombe Joseph Magufuli akiweka udongo kaburini




Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini




Ni wakati wa dua baada ya mazishi




Rais Joseph Pombe Joseph Magufuli na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete wakiondoka makaburini baada ya mazishi. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment