ENDELEA KUSOMA. . .
Rais Obama anaweka historia kwa
kutana na Papa Francis, Papa ambaye Rais Obama anamchukulia kama mtu ambaye
roho yake inapambana na uchumi wenye usawa kwa masikini na wenye nazo.
Obama amefika Vatican leo asubuhi,
na kama ilivyo utamaduni wa Kanisa Katoliki cha kwanza ilikuwa ni kwenda
kumsalimia Papa. Papa na Rais walishikana mikono kabla ya kuketi na watafsiri
wao katika meza ya mbao kwaajili ya mkutano.
No comments:
Post a Comment