ANGALIA MSIGWA ALIVYOSHUSHWA KWENYE KARANDINGA MAHAKAMANI
Anasubiri kusomewa mashtaka, nyuma yake ni Mbunge wa Viti Maalum, Chiku Abwao
Chini akitoka mahabusu kuelekea mahakamani kusomewa mashtaka yanayomkabili
akiwa chini ya ulinzi mkali, bado alama ya pipoz iko juu
Akiteremka kwenye karandinga, chini Mbunge wa viti maalumu Chiku Abwao akionesha alama ya ushindi mahakamani hapo
No comments:
Post a Comment