Wednesday, June 05, 2013

BAADHI YA WASANII NA WANASIASA WALIOHUDHURIA KUWAGA MWILI WA NGWAIR DAR ES SALAAM








 Diamond akitoa heshima za mwisho


 Baadhi ya wasanii wakitoa heshima za mwisho
 Mbunge wa Singida mjini akitoa heshima za mwisho
 Mbunge wa Kinondoni akitoa heshima za mwisho

 Diamond akifwatiria kwa karibu shughuri nzima ya kuaga mwili wa marehemu
 Msanii Fid Q akitoa heshima za mwisho
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Profesa Jay akipita mbele ya jeneza lililobeba mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima za mwisho leo Leders Club

No comments:

Post a Comment