Chazy Baba akiwa na mkewake mtarajiwa jana kwenye usiku wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards zilizofanyika Mlimani City Dar es Salaam
Mwana FA akifwatiria utoaji wa tuzo za Kilimanjaro music zilizofanyika jana
Msanii wa Hip Hop Kara Jeremiah akifwatiria utoaji wa tuzo hizo
Muimbaji wa bendi Luiza Mbutu akifwatiria tuzo hizo
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Queen Darin kushoto pamoja na Mwasiti
Mtangazaji wa redio Clouds Fm Adamu Mchomvu akifwatiria tuzo hizo
Wema Sepetu naye alijumuika na mami ya watu kufwatiria utoaji wa tuzo hizo
Msanii wa filamu nchini Wolpa akifwatiria utoaji wa tuzo hizo
No comments:
Post a Comment