Balozi wa Uingereza nchini Bi. Diane Corner (wapili kushoto) akipeana mkono na Waziri wa Maliasili
na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki baada ya makabidhiano ya faru watatu (wakiwa kwenye masanduku
kwa nyuma) waliotoka nchini Uingereza ambao watakuwa mbuga ya Mkomazi iliyoko mkoani
Kilimanjaro jumapili iliyopita (Picha kwa hisani ya Ubalozi wa Uingereza)
No comments:
Post a Comment