Tuesday, May 10, 2016

LOWASSA AMSIMIKA ALHADJI KUWA LAIGWANANI

Waziri Mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema na kuungwa mkono na ukawa Edward Lowassa akimsimika ulaigwanani Alhadji Mapukori Mberekeli huko Nanja Monduli jana Lowassa ni kiongozi Mkuu(laigwanani mkuu)wa wamasai afrika mashariki.



No comments:

Post a Comment