Kwa mara ya kwanza katika habari yake mwenyewe yenye kichwa cha habari “Dear Basketball ( Mpendwa Mpira wa Kikapu”, Kobe mwenye umri wa miaka 37 alisema “msimu huu ndio pekee niliobakiza”
Katika mfumo wa mashairi, aliandika “kumpa mtoto wa miaka 6 ndoto yake ya Laker/ na nitaendelea kukupenda kwa hilo.”
“Lakini siwezi kuendela kukumiliki tena” Bryant aliandelea kuwa msimu huu ndio pekee niliobakiza. Moyo wangu unaaweza kuhimili kishindo. Mawazo yangu yanaweza kuvumilia msukosuko, lakini mwili wangu unajua kuwa ni muda wa kusema kwaheri. Na ni sawa tu, niko tayari kuachia.
No comments:
Post a Comment