Wednesday, December 09, 2015

PICHA: RAIS MAGUFULI AAZIMISHA UHURU DAY KWA KUFANYA KAZI




Rais John Magufuli ameungana na watanzania wote kushiriki katika Siku ya Uhuru kwa kufanya usafi katika eneo la Ikulu Magogoni jijini Dar es salaam.

Aidha, Rais Magufuli ameibadilisha siku ya maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania a mbapo miaka ya nyuma watu huelekea viwanja vya Uhuru kuungana na wengine kuadhimisha siku hii ambapo mwaka huu imetumika katika kufanya usafi wa Mazingira ili kukabiliana na ugonjwa wa Kipindu pindu.
Mwaka huu Tanzania ina adhimisha miaka 54 ya Uhuru ambapo ilijipatia uhuru wake mwaka 1961.













No comments:

Post a Comment