Thursday, June 12, 2014

MISA YA KUAGA MWILI WA TYSON SASA HIVI NAIROBI, KUZIKWA JUMAMOSI


Mama mzazi wa maerehemu Tyson, Gladys Okomu akiingia katika kanisa la Nairobi Gospel Center kuhudhuria misa ya mwisho ya marehemu George Tyson. Mazishi ya Marehemu Tyson yatafanyika siku ya jumamosi tarehe 14/06/2014.


Beatrice Shayo katikati akiwa nje ya kanisa kabla ya misa ya kumuombea marehemu George Tyson.




Bobby Buluma “Pengo of Cobra Squad” ambaye pia ni mmoja wa waongozaji sinema ambaye pia laiwahi kuwa mwalimu wa George Tyson akisubiri misa kuanza.




No comments:

Post a Comment