Wednesday, May 21, 2014

KUAMBIANA AACHA MAJONZI, WASANII WAMLILIA, (PICHA ZA WASANII MBALIMBALI)

KUTOKA VIWANJA VYA LEADER'S CLUB JANA

Msanii wa Filamu "Bongo Movies" Jacob 'JB' Steven akitoa hesma za mwisho. Chini: Dr. Cheni 


Msanii wa Bongo Movie Wema Sepetu akisaidiwa baada ya kutoa hesma za mwisho jana katika viwanja vya Leader's Club, Chini: Waziri wa  Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh. Fenella Mukangara akihutubia kabla ya kwenda kuaga mwili wa marehemu Adam Phillip Kuambiana katika viwanja vya Leader's Club



 Waziri Phenella Mukangara akitoa heshma za mwisho. Chini: Meya wa Kinondoni, Yusuph Mwenda akiaga mwili wa Marehemu Kuambiana jana

 Mwakilishi wa CHADEMA akishiriki kutoa heshma za mwisho jana, Chini Msanii wa muziki wa kizazi kipya Q-Chilla akitoa heshma za mwisho jana.

 Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya FM Academia Nyoshi Sadat akitoa heshma za mwisho. Chini Mwigizaji maarufu, Jaquline Wolper akitoa heshma za mwisho

 Msanii wa vichekesho Comedian Maselle akiaga mwili wa msanii Adam Philip Kuambiana





No comments:

Post a Comment