Wednesday, July 03, 2013

KWAHERINI WABONGO

Rais Obama akishika nywele za mtoto mdogo alipokuwa ubalozi wa Marekani jana asubuhi


 Rais Kikwete na mkewe Salma, wakiwapungia wageni wao, kuwatakia safari njema jana katika uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, JUU: Barack Obama na mkewe Michelle wakiwapungia wenyeji wao

No comments:

Post a Comment