Monday, July 01, 2013

BREAKING NEWS: DALADALA YAGONGA TRENI ALFAJIRI HII

 Mkusanyiko wa watu asubui hii wakishangaa jinsi daladala ilivyoharibika alfajiri, baada ya kugonga treni wakati ikielekea Ubungo, gari hiyo iliingia kwenye njia ya treni wakati treni ikipita katika barabara ya Msimbazi karibu na kituo cha police cha Gerezani.

CHINI: Ni daladala likiwa limepondwa baada ya kuingia kwenye njia ya treni, leo alfajiri saa 11, katika barabara ya Msimbazi karibu na kituo cha Polisi cha Gerezani

ANGALIA PICHA ZAIDI...









No comments:

Post a Comment