Mtangazaji wa kipindi cha Wanawake Live, kinachorushwa na televisheni ya EATV. Joyce Kiria amewabeba watoto wake, wakati akizungumza na waandishi wa habari hapo pichani Dar es Salaam akilalamika polisi kumkamata mumewake Henry Kileo na kushindwa kumfikisha mahakamani kwa wakati
No comments:
Post a Comment