Sunday, January 01, 2017

BW. WASIA MAYA NA BI. LAILA MARTIN WAMEREMETA HOUSTON, TEXAS

Siku ya Alhamis tarehe 29/12 Bw. Wasia Maya kutoka mjini Houston , Texas aliamua kuachana na kambi ya makapera na kufunga ndoa na Bi. Laila Martin. Harusi hiyo ilifanyika nyumbani kwa Bw. Wasia na kuhudhuriwa na Watanzania wengi waishio katika jiji la Houston na miji ya jirani. Ijumaa ya tarehe 30/12 kulifanyika Nikka Dinner katika ukumbi wa Pakwan uliopo kwenye makutano ya barabara za HW6 na Beechnut . Pata picha za Harusi na Nikka Dinner hapa chini

Bw. Wasia na Bi. Laila siku ya ndoa yao

Maharusi wakiwa na sura za furaha

Bw. Wasia na mkewe Bi. Laila

Bibi Harusi Bi. Laila

Bw. Wasia

Bi. Laila



Bw. Wasia akiwa kaka Said Nassor












Kaka Mohamed Msika , Bw. Wasia Maya na kaka Said Nassor






Maharusi









Kaka Ally Mjungu akiwa na Bw. Wasia Maya
















Kaka Ally Mjungu , Bw. Wasia Maya na Uncle Shebby Pambwe


















Bwana Wasia akiozeshwa




















































The 1st kiss



























































NIKKA DINNER










Kaka Ramadhan Machapati, Kaka Kassim Daffa na Kaka Abdul










Bi. Amina na Bi. Zainab







































































































































































































































No comments:

Post a Comment