Friday, January 15, 2016

KAMATI YA BUNGE LA EAC LAKUTANA KUJADILI BURUNDI (PICHA)

Kamati ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) ilikutana na mashirika mbalimbali kwa lengo la kutafuta namna ya kushirikiana kutatua migogoro mbalimbali ya mauaji nchini Burundi. Mkutano huo ulifanyika katika makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, mkoani Arusha ijumaa tarehe 15/01/2016
PICHA ZOTE NA DOREEN ALOYCE, ARUSHA










No comments:

Post a Comment