Monday, June 02, 2014

KIKWETE NA DIAMOND USO KWA USO, MANHATTAN, NEW YORK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan, katika jiji la New York.


No comments:

Post a Comment